Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Machapisho

November 14, 2015 Mambo yameanza Dodoma, ratiba ya Bunge ni hii + pichaz Wabunge waliofika.. Newsroom TZA Kama umetembelea mitandao ya kijamii utakuwa umeona pilikapilika za kinachoendelea Dodoma sasahivi, baada ya Uchaguzi Mkuu kuisha wale wote waliopita kwenye nafasi ya Ubunge wanasubiri shughuli ya kuapishwa halafu Vikao vya Bunge vinaanza. Nimeipata Ratiba ya kitakachoendelea Dodoma kwa jumla ya siku saba mfululizo, yani kuanzia jana November 13 mpaka November 20 2015… Ratiba yenyewe hii hapa. Mbunge Mteule wa Jimbo Mwanga K’njaro, Prof. Jumanne Maghembe akiwasilisha nyaraka zake wakati wa kusajiliwa Bungeni Dodoma. Mbunge Mteule wa Sengerema, William Ngeleja nae kwenye foleni ya usajili katika Viwanja vya Bunge Dodoma

HARUFU MBAYA MDOMONI

Chanzo cha harufu mbaya mdomoni http://www.MAHANAIMU. Blog /2015/11/chanzo-cha-harufu-mbaya-mdomoni.html
TAARIFA YA MH EDWARD NGOYAI LOWASSA KWA VYOMBO YVA HABARI JUU YA HALI YA KISIASA NCHINI http://www.muungwana.com/2015/11/taarifa-ya-mh-edward-ngoyai-lowassa-kwa.html
A TO Z YA KIFO CHA KIGOGO WA CHADEMA MKOA NA MBINU ILIYOTUMIKA KUMUA KINYAMA GEITA NDIVYO ILIVYOKUWA HIVI. http:// mahanaimu. Com /2015/11/a-to-z-ya-kifo-cha-kigogo-wa-chadema.html

CHADEMA HAIKUBALIANI NA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU 2015

WAKATI  Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ikimtangaza  mshindi wa urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Jumapili iliyopita, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeyakataa matokeo hayo. Kimesema hakitakubali matokeo ya urais yatakayotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa madai kuwa mchakato wa kuhesabu kura umekiukwa na haukufuata sheria. Aidha, chama hicho kimetaka NEC kusimamisha kutangaza matokeo hayo kwa kuwa yako kinyume cha utaratibu. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa alidai utangazaji wa matokeo hayo umevurugwa na watendaji wa tume hiyo ili kukisaidia Chama Cha Mapinduzi (CCM). “Katika maeneo mengi ambako matokeo yameshatangazwa mpaka sasa, kilichoripotiwa kwa matokeo ya uchaguzi wa urais, hakifanani wala kuendana na matakwa halisi ya wananchi. Matokeo mengi yamesheheni udanganyifu, ulaghai na yameandaliwa kwa lengo maalumu la kumbeba mgombea wa CCM, John Pombe...